Simplicity.
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 2,636
- 1,664
Habari za mchana, usiku, jioni, etc., wana MMU
Nimestaafu rasmi kupost humu MMU, lakini leo nimelazimika kufanya hivyo kwa sababu muhimu kabisa.
Naomba tupeane taarifa kuhusu viwanja vizuri vya Honeymoon hapa nchini. Wewe usiogope, taja hata kama kipo Nyamongo, Ikizu, Msondosondo, Sumbawanga, etc
Cha msingi hapa tunatafuta mazingira ya kipekee kwa ajili ya wawili hao kupeana puchi, tarimbo na manjonjo mengine bila limit.
Nafanya hivi kwa niaba ya ndugu zangu wanaooana hivi karibuni, mie ni mwenyekiti wa kamati. Hela ya Honeymoon tumeshatenga ya kutosha, sasa itatumikaje na wapi?
Msaada wenu tafadhali: tinna cute miss chagga Evelyn Salt mwekundu everlenk Honey Faith nyumba kubwa BADILI TABIA masai dada miss neddy lara 1 Preta Matola mzabzab, na wengine wote.
Nimestaafu rasmi kupost humu MMU, lakini leo nimelazimika kufanya hivyo kwa sababu muhimu kabisa.
Naomba tupeane taarifa kuhusu viwanja vizuri vya Honeymoon hapa nchini. Wewe usiogope, taja hata kama kipo Nyamongo, Ikizu, Msondosondo, Sumbawanga, etc
Cha msingi hapa tunatafuta mazingira ya kipekee kwa ajili ya wawili hao kupeana puchi, tarimbo na manjonjo mengine bila limit.
Nafanya hivi kwa niaba ya ndugu zangu wanaooana hivi karibuni, mie ni mwenyekiti wa kamati. Hela ya Honeymoon tumeshatenga ya kutosha, sasa itatumikaje na wapi?
Msaada wenu tafadhali: tinna cute miss chagga Evelyn Salt mwekundu everlenk Honey Faith nyumba kubwa BADILI TABIA masai dada miss neddy lara 1 Preta Matola mzabzab, na wengine wote.