Mtanzania haswa
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 663
- 100
Vipo Goba mtambani 12km kutoka makongo ama unaweza pitia mbezi tangi bovu kabla hujafika goba mwisho kama ukipitia mbezi. Vimepimwa ukinunua unatengeneza hati kwa jina lako. bei ni 13000 kwa mita moja ya mraba mfano unataka mita za mrab 500: 500 x 13000= 6.5million. viwanja vipo 25 hivyo kuwahi ndio mpango mzima. kwa mawasiliano piga 0713 348165 ukihitaji upelekwe kuviona. unaweza chagua hapa ktika picha pia. karibuni