Kwa mpingi magoe hiyo pesa ni kubwa sana tena jingine huko kunaja maji majira ya mmvua.Viwanja viwili vinauzwa mpigi magoe
Unashuka kituo kinaitwa Machimbo
Ukubwa Mita 20/20 vipo viwili
Kila kimoja bei Mln 5.5
Kipo kiwanja kingine
Cha Mln 5.5
Maongezi yapo kidogo
0775 179905
Bei ina range kiasi gani? Kwani huko ni Dar au Mkuranga?Kwa mpingi magoe hiyo pesa ni kubwa sana tena jingine huko kunaja maji majira ya mmvua.
Panapakana na kibaha ni wilaya ya Ubungo mkuuBei ina range kiasi gani? Kwani huko ni Dar au Mkuranga?