Kaka kwa mfano mtu anataka 40 kwa 40 iitakuwa tshs ngapi kwa cash na kwa mkopo je itakuwa bei gani na kwa muda gani?Jipatie Viwanja Sasa kwa bei nafuu kabisa Ambavyo Vipo kwenye maeneo mazuri ya ujenzi Pia viwanja vinakopeshwa utaweza kulipa kidogo kidogo ndani ya miez 6
Bei nikuanzia mil 1.2
Ukubwa wa viwanja ni 20*20, 20*40, 40*40
Viwanja Vipo CHANIKA Mjini na pembezoni
#0682302250
#0679570897