Mzani
Member
- Nov 12, 2010
- 80
- 5
Salaam wana JF
Ninauza viwanja vya makazi, vipo eneo la mjimwema mtwara mjini
Eneo ni zuri sana na ni tambarare. Bara bara zimeshachongwa, hakuna umeme, hakuna maji
Viwanja ni sqm 450 (15 kwa 30) TSh 3,700,000 na sqm 600 (20 kwa 30) Tsh 4,800,000
Gharama hii inajumuisha upatikanaji wa hati (kufuatilia hati ni jukumu langu)
Kwa mawasiliano zaidi tumia namba 0713 694348
Karibuni
Ninauza viwanja vya makazi, vipo eneo la mjimwema mtwara mjini
Eneo ni zuri sana na ni tambarare. Bara bara zimeshachongwa, hakuna umeme, hakuna maji
Viwanja ni sqm 450 (15 kwa 30) TSh 3,700,000 na sqm 600 (20 kwa 30) Tsh 4,800,000
Gharama hii inajumuisha upatikanaji wa hati (kufuatilia hati ni jukumu langu)
Kwa mawasiliano zaidi tumia namba 0713 694348
Karibuni