Habari zenu wana jf jamani kunaviwanja vinauzwa hatua za mtu mzima 20 kwa 20 nyuma ya kiwanda cha Azam cola kilongoni vikindu mkuranga ni 5 km toka pale Azam cola na ni 25km toka sokoni kariakoo bei ni Tshs 2000,000/ kwa atakae ani pm pia gari inafika hadi katika viwanja