Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 16,355
- 13,146
Wewe unaleta ubishi usio na kichwa wala Miguu huwezi Shindana na Serikali... kalaghabao... ndio Ishaandikwa na Ifanyike...Lukuvi aweke kwanza bei elekezi kwenye ma apartments za viongozi vilivyoko Ostabei, Masaki na Upanga ndo apate moral credibility ya kuja kutoa bei elekezi kwenye viwanja vyetu vya mapinga, Mkuranga na Chanika.
''So let be Written so let it be done''