Viwanja na Mashamba vinapatikana Kigamboni

Viwanja na Mashamba vinapatikana Kigamboni

Mwandege hakuna viwanja vilivyopimwa mkuu, ni skwata tu!!

Kiwanja kilichopimwa utakipata kwa 1.5m?

Mimi nimenunua viwili kule mwandege opposite na shule ya msingi, viwanja vizuri mno, ardhi ni tambarare sio milima kama mbezi ya kimara!
dar kuna mlima?
 
Hesabu iko hivi 50ft= 15.24000m hapo nyumba ya vyumba 2 tu badi ndio inakaa.
 
wakuu muwe mnaweka dimensions in meters msipoteze watu ebo, sasa hiyo 50x50ft si app 15x15m
 
Viwanja vinauzwa mbagala mwandege chatembo kwa bei ya sawa na bure na ambayo utaimudu,,
Bei ni mil.1 na laki 5,,,
Ukubwa ft 50x50,,
Woote mnakaribishwa,,,,
0683775566,
0714775566.
Hivi kwanini hujaweka kipimo cha mita kinachoeleweka kwa watu wengi.
 
Duh!Mbona bei rahisi sana?Ningekuwa Dar,ningenunua hata vitatu!!
 
Duh!Mbona bei rahisi sana?Ningekuwa Dar,ningenunua hata vitatu!!
Nunua....unasema ungekua dar? Kwani umeambiwa wanauziwa watu wa dar tuu? Watu wapo Tanzania na wana majumba South Africa ...wewe hapo tuu around kinakushinda nini while hela unayo...na ushaambiwa Ardhi ni Asset.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Ni mara nyingne tena nakuletea special offer ww uliyebahatika kuona tangazo hil ikiwa unahtaj kiwanja kwaajil ya maendeleo ya ujenz wako ktk maisha,
Viwanja vinauzwa chatembo,
Ni jiran na kiwanda cha bakhresa kilichopo mwandege dar....
Usafir unapatikana mbagara sh.600 naul ya daladala,,
Ft 50×50 kwa sh. 3.000.000 - 1.500.000/=
Woote mnakaribishwa,,,
0714775566/ 0683775566
1476200604132.jpg
 
Huduma za maji zipo,
Umeme upo ila sehemu hucka tanesco ndo wanapeleka wameweka nguzo,,
Barabara haina tatzo..
Kwa maelezo na mengneyo uccte kunitafuta 0714775566,
0683775566
 
Back
Top Bottom