Asante Frank kunisaidia kujibu swali,,,
Kwa maelezo na mengneyo zaid msisite kunipigia wahitaj
0683775566,
0714775566
Uiwanja vpo ving tu mkuu
Sijaelewa hapoBei ni tsh. Mil.3,,,,
kwa mil.1 na lak 5
yeah ni kweli mkuuMkuu tupia coordinates nipaone Kwa map kabla sijaamua lolote
nna m1 nataka 50x50Ni kwa mara nyingine nakuletea ile fursa ya kumiliki kiwanja chako kwa bei ya ofer na utakayo iweza
VIWANJA vipo CHATEMBO,,,
Nazungumzia MWANDEGE nyuma ya kiwanda cha BAKHRESA,,
Usafr wa daladala upo mbagara rang3 muda wote,,
Ukubwa wa viwanja ni ft 50×50.
Bei ni mil.3 na maongez yapo,,,
Pia vipo vya mil 1 na nusu.
Wooote mnakaribishwa,
Ukiona fursa hii mjulishe na mwingine,,
Piga cm au watsapp
0683 77 55 66
Ile fursa ya kumilik kiwanja kwa bei ya offer ndo inaelekea mwisho,,
Kwawale waliokuwa bado bas hawajachelewa pia,,
Viwanja vipo mwandege nyuma ya kiwanda cha BAKHRESA panaitwa CHATEMBO,
Bei mil 3,
Ukubwa 50×50,
Mawasiliano,
Piga au watsapp,
0683775566,
Woote mnakaribishwa.
View attachment 432471
Vimepimwa?Ile fursa ya kumilik kiwanja kwa bei ya offer ndo inaelekea mwisho,,
Kwawale waliokuwa bado bas hawajachelewa pia,,
Viwanja vipo mwandege nyuma ya kiwanda cha BAKHRESA panaitwa CHATEMBO,
Bei mil 3,
Ukubwa 50×50,
Mawasiliano,
Piga au watsapp,
0683775566,
Woote mnakaribishwa.
View attachment 432471
![]()
Chanika Mjini(Videte)
50Ft X 50Ft,
Bei: 4.5M.
Umeme na Maji hapo hapo.
0.6Kms kutoka Barabara ya Lami.
1.7Kms toka Chanika Stand.
Pamepimwa kienyeji vizuri kwa Makazi Bora.
Kiwanja #29 & #30 Bado vinapatikana. Unajenga na kuhamia Leo leo bila kusubiria Umeme na Maji.
0715-240140