Character X
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 331
- 382
Wandugu Habari,
Nimeitiwa eneo lenyeukubwa wa heka mbili karibu na Dar zoo naomba kuuliza kuhusu uhalali wa maeneo yale. Ni nyuma ya Dar zoo wanauza milioni mbili kwa heka.
Mwenye ufahamu Tafadhali
Shukran
Ila pia Kama yupo mwenye eneo kule lenye uhalali usiotiashaka ataje bei Kama itakua nzuri naweza kulitembelea kuliona,kama yote yataenda sawa tukafanya biashara
Nimeitiwa eneo lenyeukubwa wa heka mbili karibu na Dar zoo naomba kuuliza kuhusu uhalali wa maeneo yale. Ni nyuma ya Dar zoo wanauza milioni mbili kwa heka.
Mwenye ufahamu Tafadhali
Shukran
Ila pia Kama yupo mwenye eneo kule lenye uhalali usiotiashaka ataje bei Kama itakua nzuri naweza kulitembelea kuliona,kama yote yataenda sawa tukafanya biashara