Viwango vya mishahara mamlaka za maji

poteleambali

Member
Jul 23, 2015
68
71
Tafadhali wadau naomba mwenye kujua mishahara kwa Credit Control Officer kwenye mamlaka za maji safi na taka hasa SUWASA ni kiasi gani manaake nimeitwa huko kwa ajili ya usaili
 
Yaani unachekesha !!!!ulivyoomba kazi nani ulimuuliza swala hili?, Kama unatamaa ya fedha basi hata ukilipwa kiasi gani hakitakutosha.
Salary mara nyingi ni fixed money, hivyo huwezi kuendelea kwa mshahara mpaka akili itakapojua kuwa matajiri wote ni wafanyabiashara hata kama ni waajiriwa.
 
Yaani unachekesha !!!!ulivyoomba kazi nani ulimuuliza swala hili?, Kama unatamaa ya fedha basi hata ukilipwa kiasi gani hakitakutosha.
Salary mara nyingi ni fixed money, hivyo huwezi kuendelea kwa mshahara mpaka akili itakapojua kuwa matajiri wote ni wafanyabiashara hata kama ni waajiriwa.

Mkuu nayajua yote hayo na kwamba wafanya biashara ndio wenye pesa nyingi na zisizo fixed, lakini hoja yangu ni kujua ili nipate base ya ku bagain. Sijui umenipata?
 
Mkuu nayajua yote hayo na kwamba wafanya biashara ndio wenye pesa nyingi na zisizo fixed, lakini hoja yangu ni kujua ili nipate base ya ku bagain. Sijui umenipata?
Mwalimu wangu alinifundisha namna ya kujibu unapoulizwa swali linalohusu maslahi yako.
Alisema maneno haya:
"...ikitokea unaulizwa, kama utapata nafasi ya kufanya kazi (hapa), je, utapenda ulipwe kiasi (pesa) gani..? Wew jibu you kuwa...siwezi kupanga mimi...kwa kuwa kila taasisi inautaratibu wake wa kulipa wafanyakazi mishahara...hivyo hiyo ipo juu yenu.."

Sasa mkuu, chukua majawabu hayo, then ongeza na akili zako,,,,alafu nenda kwenye usaili.

Ila kumbuka, kazi sio bidhaa hadi ufikirie kuhusu bargain
 
Mwalimu wangu alinifundisha namna ya kujibu unapoulizwa swali linalohusu maslahi yako.
Alisema maneno haya:
"...ikitokea unaulizwa, kama utapata nafasi ya kufanya kazi (hapa), je, utapenda ulipwe kiasi (pesa) gani..? Wew jibu you kuwa...siwezi kupanga mimi...kwa kuwa kila taasisi inautaratibu wake wa kulipa wafanyakazi mishahara...hivyo hiyo ipo juu yenu.."

Sasa mkuu, chukua majawabu hayo, then ongeza na akili zako,,,,alafu nenda kwenye usaili.

Ila kumbuka, kazi sio bidhaa hadi ufikirie kuhusu bargain

Ahsante sn boss wangu, japo case kama hiyo iliisha nitokeaga nikajibu kama ulivyonielekeza lakini jamaa walinikazia nitaje figure

Nilifanya kama walivyotaka, nilifaulu usaili huo na nikawa nalipwa kile nilichokitaja kwenye usaili na kwa bahati mbaya mimi ndo nilikuwa na figure ndogo ukilinganisha na staff wenzangu.

Tokea hapo ndo nikajua umhimu wa kufanya research kabla ya usaili kama ninavyofanya hapa jukwaani
 
ok
Mkuu nayajua yote hayo na kwamba wafanya biashara ndio wenye pesa nyingi na zisizo fixed, lakini hoja yangu ni kujua ili nipate base ya ku bagain. Sijui umenipata?
ok ndugu ila kwa serikalini kwenye interviws huwa swali la kukuuliza kuhusu malipo hawalipendi sana.
Usiache kupitia tangazo tena rafiki hasa pale penye majukumu.
Pole kwa kukukwaza. Nadhani nk kati ya 60's-80's kgs.
 
ok
ok ndugu ila kwa serikalini kwenye interviws huwa swali la kukuuliza kuhusu malipo hawalipendi sana.
Usiache kupitia tangazo tena rafiki hasa pale penye majukumu.
Pole kwa kukukwaza. Nadhani nk kati ya 60's-80's kgs.

Ahsante mkuu na mpaka hapa nadhani nimepata pa kuanzia
 
Back
Top Bottom