Viwanda vya Pombe vipewe Ruzuku!

Viwanda vya Pombe vipewe Ruzuku!

and 998 others

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
27,921
Reaction score
39,105
Ikiwa vyama vya Siasa vinapewa Ruzuku. Iweje sekta inayoingiza Kodi kwa wingi hawapewi Ruzuku toka mfuko mkuu wa Taifa? Tatizo ni Nini? Tumechelewa sana!



2637487_Screenshot_20201212-133311_1607769611010.jpg


images - 2022-03-25T100117.107.jpeg


images - 2022-03-25T100509.938.jpeg
 
Vimeomba Kupewa ?

Kwanza kutokana na matatizo inayoleta (ikiwemo vyama vya Siasa) vianze kulipa na sio kupewa..., Yaani kama Pombe inavyolipa na vyenyewe hali kadhalika You Pay according to Your Strength kwahio CCM ilipe maradufu
 
Ruzuku ya nini wawape wauza mafuta ya magari ili tuweze kufika kwa wakati bar😀
😀🤣😂🍻🍺
 
Back
Top Bottom