wakuu sehemu gani dar naweza nikapata nguo nzuri za kupendeza kwa mvulana za kutosha kuanzia t-shts,shrts,trousers,pens na viatu especially viwalo vya mtumba kwa bajeti ya laki 2?
Naomba nikuvalishe viatu.
Achana na viatu vya mtumba unavaa kama umelogewa, njoo dukan uvae chako kipya kwa bei poa
Jamani wewe dada. Ebu weka na bei......!?
Viatu vizuri nikitoka mpanda ntakuja kununua,
Jamani.Bei zinatofautiana my kaka, kuanzia 20000-25000 jumla. Rejareja 25000-28000.
0629586817
Mpigie mwenye namba hii 0767371453 huwa anapatikana Mwenge atakusaidia ni muuzaji wa nguo na viatu vya mtumbawakuu sehemu gani dar naweza nikapata nguo nzuri za kupendeza kwa mvulana za kutosha kuanzia t-shts,shrts,trousers,pens na viatu especially viwalo vya mtumba kwa bajeti ya laki 2?
Jamani.
Jamani wewe dada una mambo loh.Makubwa haya!! Jaman tena?? Khaa!!
Acha ubahili wew, sio unavaa viatu kama mwalimu wa shule ya msingi wewe.
Jamani wewe dada una mambo loh.
Mambo gani???? Achen ubahil wanaume, sasa mtu anataka avae kiatu cha mtumba 8000 ili avae miaka 3 bila kubadilisha kama kalogewa. Hebu nendeni na wakati bhana, sio kuishia kuona pair za viatu za akina fulan kwenye TV.
Kwaheri
Apologise lady unapatikana mkoa gani?
njoo pm basiDar ya salama