kukumsela
JF-Expert Member
- Oct 13, 2018
- 721
- 907
Nachukua Nafasi Hii Kuipongeza Serikali ya Awamu ya Tano chini ya jemedari wetu Rais Magufuli kwa Kumlea Vizuri Mwakinyo na Kumtengenezea Mazingira Mazuri ya Ushindi Leo hakika mwakinyo umeiletea sifa Tanzania na Africa kwa ujumla.najivunia kuwa mtanzania
Pia Pongezi Kwa UVCCM Mkoa wa Tanga kwa Malezi Mazuri ya Kijana Mwakinyo!
Hakika Sisi Ni Tanzania Mpya!
Pia Pongezi Kwa UVCCM Mkoa wa Tanga kwa Malezi Mazuri ya Kijana Mwakinyo!
Hakika Sisi Ni Tanzania Mpya!