It's real if you keep yourself real, kama uko kimaigizo utapata wa kuigiza nae..!
...Jaribu, kuwa serious uone kama hutampata...
..Niulize 'ntakwambia'..
Hongera, lakini kuwa makini...tunaoigiza tupo wengi...
..Ukijiingiza mazima waweza kuumia, take your time!!
Awali ya yote namshukuru Mola muweza wa yote.
Pili naishukuru JF kwa kuanzisha jukwaa hili la LOVE CONNECT.
Bila shaka jukwaa hili limeunganisha wapenzi wengi,japo ni jukwaa ambalo baadhi ya wadau wamekuwa wakilikandia na kuwakatisha tamaa wanaotafuta wenza/wapenzi hapa.
Miezi kadhaa iliyopita nilijitokeza jukwaani hapa kutafuta mme mtarajiwa,kama ilivyoada wadau mbalimbali walicomment wawezavyo wapo waliokandia,lakini kuna walionitia moyo.
Nawashukuru wote waliochangia bila kujali kama walikandia au walinitia moyo,hii ni kwasababu walinipa hamasa ya kuendelea na mchakato wa kumsaka mme wangu mtarajiwa.
Zaidi ya yote nawashukuru wote walionitumia PM, na ninaomba msamaha kwa yeyote niliyemkwaza.
Namshukuru Mungu,amenikutanisha na mwanaume wa ndoto zangu kupitia JF,ni mwanaume mwenye sifa zote nilizotamani mme wangu mtarajiwa awe nazo.
That is why napaza sauti nikisema,
VIVA JF! VIVA LOVE CONNECT!
wakina gilesi
It's real if you keep yourself real, kama uko kimaigizo utapata wa kuigiza nae..!
...Jaribu, kuwa serious uone kama hutampata...
..Niulize 'ntakwambia'..
rafiki naomba tenda ya kukuandalia mwonekano wa sherehe ya harusi yako itakavyokuwa na mambo mengine yanayohusu sherehe ya harusi yako kwani mm ni mtaalamu na nifanya shughuli hizo ona sign yangu hapo chini
samahani kama nimekukwaza kwani wewe ulishafanyiwa kitu kama hicho hapa jf?
Uje ghetto kwangu nitakupa mkanda 'cd' yote.!
ladyfurahia, sijakwazika bestito..!! Mimi sikuwahi kufanyiwa coz nilikuwa "real" wakati nahitaji.
Uje ghetto kwangu nitakupa mkanda 'cd' yote.!
naomba nije mm hapo ghetto unipe mkanda mzima
Don't worry, muda ukiwadia nitakutafuta!
Mke mwenza..! Hadi huku???
jamani basi ngoja niondoke si wewe ulimwambia kuwa golden chance hiyo haikamatie , mbona unakuwa kigeugeu tena mke mwenza?
Hahahahah acha zako mke mwenza....ntakugechaaa...ohooo