Viva JF Viva love connect

Viva JF Viva love connect

It's real if you keep yourself real, kama uko kimaigizo utapata wa kuigiza nae..!
...Jaribu, kuwa serious uone kama hutampata...
..Niulize 'ntakwambia'..

Unachokisema ni kweli kabisa,humu kuna waigizaji hivyo unahitajika umakini wa hali ya juu kung'amua mbivu na mbichi.
 
rafiki naomba tenda ya kukuandalia mwonekano wa sherehe ya harusi yako itakavyokuwa na mambo mengine yanayohusu sherehe ya harusi yako kwani mm ni mtaalamu na nifanya shughuli hizo ona sign yangu hapo chini
Awali ya yote namshukuru Mola muweza wa yote.

Pili naishukuru JF kwa kuanzisha jukwaa hili la LOVE CONNECT.

Bila shaka jukwaa hili limeunganisha wapenzi wengi,japo ni jukwaa ambalo baadhi ya wadau wamekuwa wakilikandia na kuwakatisha tamaa wanaotafuta wenza/wapenzi hapa.

Miezi kadhaa iliyopita nilijitokeza jukwaani hapa kutafuta mme mtarajiwa,kama ilivyoada wadau mbalimbali walicomment wawezavyo wapo waliokandia,lakini kuna walionitia moyo.

Nawashukuru wote waliochangia bila kujali kama walikandia au walinitia moyo,hii ni kwasababu walinipa hamasa ya kuendelea na mchakato wa kumsaka mme wangu mtarajiwa.

Zaidi ya yote nawashukuru wote walionitumia PM, na ninaomba msamaha kwa yeyote niliyemkwaza.

Namshukuru Mungu,amenikutanisha na mwanaume wa ndoto zangu kupitia JF,ni mwanaume mwenye sifa zote nilizotamani mme wangu mtarajiwa awe nazo.

That is why napaza sauti nikisema,

VIVA JF! VIVA LOVE CONNECT!
 
samahani kama nimekukwaza kwani wewe ulishafanyiwa kitu kama hicho hapa jf?
It's real if you keep yourself real, kama uko kimaigizo utapata wa kuigiza nae..!
...Jaribu, kuwa serious uone kama hutampata...
..Niulize 'ntakwambia'..
 
It's real if you keep yourself real, kama uko kimaigizo utapata wa kuigiza nae..!
...Jaribu, kuwa serious uone kama hutampata...
..Niulize 'ntakwambia'..

Niambie bas Eli79 loh
 
Last edited by a moderator:
rafiki naomba tenda ya kukuandalia mwonekano wa sherehe ya harusi yako itakavyokuwa na mambo mengine yanayohusu sherehe ya harusi yako kwani mm ni mtaalamu na nifanya shughuli hizo ona sign yangu hapo chini

Don't worry, muda ukiwadia nitakutafuta!
 
Back
Top Bottom