hapana ningeleta feedback pia, nlipata ambao hatuendaniendan nikaamua nitulie kwanza ntaanza tena mchakato baadaeMkuu na wewe ulipata?
mbona wanaume hatupatagi wachumba hapa...hamna ma-bachelor wa kike humu..?
ila wanaume wengi wakipost matangazo yao hawapati wanawake(wake)..?umemwelewa mtoa mada kweli???? ye ni ke kampata me humuhumu so alikua bachela pia kuna gals bachelas wengi sana ndiomana kila kukicha wanasaka me..
It's real if you keep yourself real, kama uko kimaigizo utapata wa kuigiza nae..!Mi naonaga kama maigizo haya eti sijui kwa nini
best wishes my dear..