johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,979
Pamoja na Ewura kutangaza ongezeko la bei ya mafuta ya petrol na diesel Wakala wa Manunuzi ya Serikali amesema katika vituo vyao vya kuuzia mafuta bei ni nafuu sana.
Hivyo wananchi msisononeke jaza mafuta kwenye vituo vya wakala wa serikali.
Source: ITV habari
Hivyo wananchi msisononeke jaza mafuta kwenye vituo vya wakala wa serikali.
Source: ITV habari