Vituo vya trafic Police Arusha ni kero

Vituo vya trafic Police Arusha ni kero

Kurutamjanja

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2013
Posts
396
Reaction score
377
Napongeza uwepo wao Barabarani kwa kulinda usalama wa Vyombo vya usafiri na usalama wa barabarani kwa Ujumla.Lakini Kuna kero kubwa sana tunayopata sisi Madereva Wa Arusha,Vituo ni vingi sana vya kusimamishwa na Polisi hao. Mfano unatoka Monduli, Unakutana na Trafic polisi Uwanja wa ndege,Burka wapo,ujakaa vizuri unawakuta kona ya Mbauda na kote wanakusimamisha,Ngarenaro wapounapita Nairobi road unakutana nao Technical wanakusimamisha, kabla ya Mianzini Mataa unasimamishwa, Na hapo hakuna hata 10km ila unasimamishwa zaidi ya mara tano.kwakeli huu ni usumbufu sana. Na mbaya zaidi wanaposimama hakuna hata sehemu ya kupaki gari ni fujo tu. na vijibarabara vyetu vya Arusha vilivyo vidogo usumbufu unakuwa mkubwa sana.Trafic Polisi Arusha tunaomba mliangalie hilo.
 
Napongeza uwepo wao Barabarani kwa kulinda usalama wa Vyombo vya usafiri na usalama wa barabarani kwa Ujumla.Lakini Kuna kero kubwa sana tunayopata sisi Madereva Wa Arusha,Vituo ni vingi sana vya kusimamishwa na Polisi hao. Mfano unatoka Monduli, Unakutana na Trafic polisi Uwanja wa ndege,Burka wapo,ujakaa vizuri unawakuta kona ya Mbauda na kote wanakusimamisha,Ngarenaro wapounapita Nairobi road unakutana nao Technical wanakusimamisha, kabla ya Mianzini Mataa unasimamishwa, Na hapo hakuna hata 10km ila unasimamishwa zaidi ya mara tano.kwakeli huu ni usumbufu sana. Na mbaya zaidi wanaposimama hakuna hata sehemu ya kupaki gari ni fujo tu. na vijibarabara vyetu vya Arusha vilivyo vidogo usumbufu unakuwa mkubwa sana.Trafic Polisi Arusha tunaomba mliangalie hilo.

Wala usikwazike mkuu,
mji umeharibka huo,
kila siku Mabomu, hivyo ulinzi lazima uimarishwe
 
Traffic hawakagui mabomu, hii ni kero sana. sijui km huyu bosi mkuu wa traffic anlijua hili?
 
Traffic hawakagui mabomu, hii ni kero sana. sijui km huyu bosi mkuu wa traffic anlijua hili?

kama huko unaona kelo sasa ukija dar si utakuwa hauendeleshi hata gari lenyewe,maana hiyo ndani ya kilometa 10 napo kuna vibanda kumi......huku vyeti tu hakuna kukaguana.
 
Back
Top Bottom