The Tomorrow People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 2,690
- 2,857
Wakuu,
Niende moja kwa moja kwenye mada ni hopefully wote ni wazima.
Kuna hivi vituo vya warudia mitihani (Risitters) Elimu ya O’Level miaka miwili A’level mwaka mmoja. Au kama unataka kurudia mtihani.
Kwenye pita pita zangu maeneo ya Mwenge ambako kuna vituo zaidi ya kumi observation yangu nimegundua kwamba wengi wa hawa waalimu ni masela wa kitaa hawana haiba ya ualimu na wengi wao hata materials ya kufundishia wana google to hawako competent kabisa.
Kilicho ni sikitisha zaidi ni jinsi vituo hivi vinekuwa sasa sehemu ya kukutania na kwenda kufanya ngono. Waalimu wanatafuna wadada, wadada wanatafunwa na wanafunzi wenzao plus mibaba nayo ina vitarget vident vinavyo soma hizi shule.
Ni hayo tu
Niende moja kwa moja kwenye mada ni hopefully wote ni wazima.
Kuna hivi vituo vya warudia mitihani (Risitters) Elimu ya O’Level miaka miwili A’level mwaka mmoja. Au kama unataka kurudia mtihani.
Kwenye pita pita zangu maeneo ya Mwenge ambako kuna vituo zaidi ya kumi observation yangu nimegundua kwamba wengi wa hawa waalimu ni masela wa kitaa hawana haiba ya ualimu na wengi wao hata materials ya kufundishia wana google to hawako competent kabisa.
Kilicho ni sikitisha zaidi ni jinsi vituo hivi vinekuwa sasa sehemu ya kukutania na kwenda kufanya ngono. Waalimu wanatafuna wadada, wadada wanatafunwa na wanafunzi wenzao plus mibaba nayo ina vitarget vident vinavyo soma hizi shule.
Ni hayo tu