Vituo vya kuuza mafuta vya Lake Oil kutoa risiti za EFD haiwahusu?

Korongwe

Member
Feb 17, 2011
52
13
Mara kwa mara nimekuwa nikitumia kituo cha lake oil karibu na st. mathew sekondari,na ni mwezi mzima sasa tangu april wanasema mashine ya efd mbovu na taarifa ziko TRA,ukiwabana wanakwambia paki pembeni uandikiwe risiti,je TRA hili mnalichukuliaje?nashauri mbandike namba zenu kwenye vituo vyote vya kuuzia mafuta mweze kupata taarifa ya kinachojiri!
 
Back
Top Bottom