Kwa hakika kuna raha na karaha katika vituo hivi, kwani wapo waendeshaji wa vituo hivi wenye maslahi binafsi na wapo wanaotafuta radhi za Mola wao kwa shughuli hii.
Kwa upande wangu nimepita katika kituo kimoja kinaitwa New Life Orphans home. kwa kweli mlezi wa kituo hiki ni wa kupigiwa mfano. amejitoa kuifanya shughuli hii kwa hali na mali. Jee nawe umepitia katika vituo hivi?
Karibu tu share uzoefu.
j
Kwa upande wangu nimepita katika kituo kimoja kinaitwa New Life Orphans home. kwa kweli mlezi wa kituo hiki ni wa kupigiwa mfano. amejitoa kuifanya shughuli hii kwa hali na mali. Jee nawe umepitia katika vituo hivi?
Karibu tu share uzoefu.
j