- Thread starter
- #61
daaah! mmh! acha tu ngoja nipite,
Kwanini tena? Au hujapenda?
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
daaah! mmh! acha tu ngoja nipite,
Mmmmh mpaka mate yananidondoka. Umenitamanisha
Kwanini tena? Au hujapenda?
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Amin mpenz hujambo lakin?
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Mi sijambo sana namshukuru mungu. vip family..
Mi sijambo sana namshukuru mungu. vip family..
Hawajambo wote alhamdulillah
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
sikua naijua hii, ubarikiwe, will surely do.......
Duh na hivi ni mpenzi wa vitumbua, mate yeshajaa mdomoni. Ngoja nijaribu weekend hii.
Asante mamito. Tuwekee na hiyo mikate yake.
Waweza kula na maandaz chapati au chochote
Mie hupendelea kula na naan bread ntaweka recipe yake soon ni mikate mizuri sana
Jamaniii ukiweka naan niite nije fasta.
Napenda buttered naan na mishkaki ya kuku .
Ukimaliza niwekee na recipe ya Shawarma. Jina la ule mkate wa Shawarma umenitoka. Sijui lazima nitumie pizza stone ama naweza kutumia oven?
Usijali ntakuekea habibty wa usijali hivi umenionea wapi kaka angu OLESAIDIMU
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
OS bwana ana maringo huyo?? Ajue anamisiwa ndo kwanzaaaaa atajificha. Ila kwa leo yupo siasani anatembeza darsa, nitampa salamu.
Hahahaha ntafurah ukifikisha salamu
Oh yes, pita bread.
Kuna kipindi nilienda Arusha kwenye hoteli moja hivi wakawa na Mexican wraps bomba kinomaaa. Nilipenda sanaaaaa. Now each time nikienda Arusha, lazima nitie timu.
yammie yamie late yam yam..
farkhina hiyo samli iso na harufu yaitwaje?