Vituko vya MWL NYERERE ni kweli?

Nna hamu nayo sana aisee..mara ya mwisho kuvuta bange ya ukweli nilikuwa Majengo sekondari...hii tuliyovutaga makutopora cha mtoto sana...hata haina stimu maharufu tu!

Bange ya arusha ina hadi flavor..chezea!!!
Ogopa sana ile Kitu ya Meru,,Unaweza ukaweka kwenye manati ukalenga Kunguru na akadondoka kwa jinsi ilivyosindikwa...Sasa unaichambua vizuri unaongezea na flavour ya sigara kali(nyota)aaaaaaah Burudaniii
 
Sio bangi sema bange, mie hii ya kusimama barabarani raisi nyerere anapita ilishanikuta sana wakati nasoma shule ya msingi muhimbili enzi za mwalimu ndosi na mwalimu batalingaya looh

Kifimbo cha mzee kilikuwa nouma mie pia nilishazinyaka kuwa aliwekewa bomu pale daraja la salenda yaani msafara wake ukipita tuu alipuliwe, basi kifimbo kikamtonya na akabadili msafara akapita daraja la kajima.
Malkia elizabeth alipofika akavaa gloves ndo akatoa mkono kumsalimia mwalimu, mwalimu nae akampa kifimbo badala ya mkono.
Hakuna aliyeweza kukinyanyua kifimbo chake ikitokea alikisahau mahali hadi arudi, alikirithi kutoka kwa wazee wa kizanaki.
Watoto wa dotcom mtabisha coz hamzijui wala hamkuwahi kuzisikia.
Mentor njoo tuvute wote bangi nnaha ya kukuona ukiwa ushak
olea mjani na macho yako hayo sikupatii picha.


Yaan Nilijua nilizisikia mwenyewe story hzo,view umenisaidia
 
Last edited by a moderator:
Kuna mti mmoja mrefu sana kampuni ya sukari Kilombero karibu na uwanja wa ndege,jamaa walitengeneza kiti juu ya mti na ngazi ili rais wa nchi apande na kuangalia mashamba ya miwa,alikataa kupanda.
 
Ogopa sana ile Kitu ya Meru,,Unaweza ukaweka kwenye manati ukalenga Kunguru na akadondoka kwa jinsi ilivyosindikwa...Sasa unaichambua vizuri unaongezea na flavour ya sigara kali(nyota)aaaaaaah Burudaniii

u got any left bro??

Cc: Smile?? this A-town thing is dope i tell ya...:kev:
 
Last edited by a moderator:
Nami kweli nilivisikia sana hivyo vituko nikiwa mdogo hadi za watu kumwita mchawi bt sasa nimepata ukweli kuwa hakuwa mchawi wala mshirikina bt alikuwa anaongonzwa na mungu.eg rungu yake alipewa na papa pius alimwambia nenda ukapiganie uhuru wa wana wa mungu.nyerere alikipeleka kirungu kwa mchongaji akachonga kingine kikubwa kile alichopewa akakiweka ndani yake.hivi ni kwa ufupi bt details za sourse ntawaletea siku nyingine
 
ha ha ha labda wenzetu waliosoma shule za msingi mikoa mingine, hizi zilikuwa story za class, kukiwa na tukio lolote linalo mtajja Mwl lazima mda ambao mwalimu hayupo class hizi story zipigwe, mwisho wa siku wote tunahadithiana na kurekebishana utadhani tulikuuwapo!
 
Mbona hizi story zilikuwa common sana wakati huo? Mnachoshangaa ni nini? Au Nyerere wakati anafariki dunia nyie ndiyo mlikuwa chekechea, kwa hiyo hamkuzisikia hizi?

Tulizisikia sana ila shida ni kuendelea kuzitilia maanani kwa umri huu inamaanisha wewe haukui
 
Mara ya mwisho kifimbo na suti zake niliviona sabasaba pale kwenye banda la maliasili au ni copy tu zile??
 
alikua na saa, kukiwa na hatari au mtu mbaya inakuwa nyekundu...wakati anataka kupinduliwa iligeuka rangi wiki nzima
Tumia akili, hiyo saa iliundwa wapi na nani, na je ni yeye pekee aliuziwa. Bado tuko karne mbili nyuma, kama tunaamini hadithi za alfu lela ulela. Toka usingizini wewe!
 
Samahani wanajamii, hicho kifimbo alizikwa nacho au kipo makumbusho nikakione,
 
ooooooh yah man...u talking of those caught as 'vizibiti'?? u see Smile, told ya...pale central kuna mshkaji anazo za ukweh yani!!!
OOOi,,sikuwapata kwenye 4n.....Ila mzigo upo unakuja na Saibaba ya Karatu wewe jioni jisogeze maeneo ya Ubungo Terminal....:A S-fire1:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom