Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Cc,dk Abasi.bamutu ya mutaa yenu banakujua vizuriiii.kumbe mzee wa mihadharaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Dah hapo mwisho umesema kweli....hata mimi nimewahi kufikiria hivyo kuhusu watu flan humu.
 
Baada ya kumtupia elf70 nikadandia daladala nikashuka kituo cha pili nikavuka upande wa pili cjui gari ya wapi! nikajikuta mbagala!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jemsi nomaaaa[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Hivi mkuu yale mafuta huwa yanafanyia nini ?
 
Sijakaa Mwananyamala zaidi ya kupita tu barabarani lakini uzi huu naufatilia kwa rula bila kuruka comment yoyote, unaweza kuwa uzi bora zaidi tangu mwaka huu uanze.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Kwani kuna shida gani nilivyotoa hilo sahihisho mpaka uniite hilo jina? Au ndo unataka kuonyesha jinsi ulivyo huna akili. Acha uquma wewe hapa kila mtu ana uhuru wa kuandika.
...teh hee hee..kwahiyo unakataa kwamba wewe sio ng'ombe?
..sahihisho lako la kishankupe tu,wala halikuwa na haja;
.ng'ombe wewe!
 
Ukimaliza uje na mtaani kwentu tandale kwa mtogole

Wameniibia madera yangu hapa natafuta pa kupigia ramli
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we dyadya weee. Umeniua mbavu
 
Ustaarabu unarudi kutokana na wageni kuongezeka .Kama ilivyokuwa magomeni Makuti.
 
oyooooooooo hahaaa
hapo huwa wanakuwa navigoma vyao...watu wameshakula sana mmea wakati huo..daahh maisha ya uswazi nyoko aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…