mm ningekuwa bwana harusi ningeua mtu pale pale nisingengojea hata arudie...MC akasema,sasa nawapa sifa kubwa ya bibi harusi...........huwa havai nguo za ndani. Watu wakaduwa na kubaki vinywa wazi. Akasema narudia kwa msisitizo na sijakosea.
Bi harusi huwa havai kabisa nguo za ndani......Nguo zake ni za kutoka Italy,England na Marekani,hebu mshangilieni.....Kila mtu Ahaaaa!!!!
MC akasema,sasa nawapa sifa kubwa ya bibi harusi...........huwa havai nguo za ndani. Watu wakaduwa na kubaki vinywa wazi. Akasema narudia kwa msisitizo na sijakosea.
Bi harusi huwa havai kabisa nguo za ndani......Nguo zake ni za kutoka Italy,England na Marekani,hebu mshangilieni.....Kila mtu Ahaaaa!!!!
sasa kwanini wanaendelea kumpa kazi ya u-mcKuna mmoja anaitwa MC. Kikulacho yupo pale Iringa kwa kweli kwa mbwembwe zake huwafanya maharusi wakose raha. Maana huwa anazungumzia details flani flani za mtu mpaka inakuwa kero.