Rich Hash
Senior Member
- Mar 7, 2017
- 149
- 203
Humu mitandaoni kuna vituko bwana.
Mtu anapost jambo hapa, wachangiaji wakimkosoa anawatolea lugha za maudhi na matusi, wakiendelea kumkosoa tena kwa busara na hekima anawablock kabisa!
Yaani wanataka kila mtu akubaliane na mawazo yao waliyopost au kucomment.. .
Ebu kila mmoja ataje hapa watu wenye tabia hizi ili wajirekebishe..
NB:
Post hii ikiwakera msinblock kama kawaida yenu.... au kunipeleka kwenye thread nyingine...
Mtu anapost jambo hapa, wachangiaji wakimkosoa anawatolea lugha za maudhi na matusi, wakiendelea kumkosoa tena kwa busara na hekima anawablock kabisa!
Yaani wanataka kila mtu akubaliane na mawazo yao waliyopost au kucomment.. .
Ebu kila mmoja ataje hapa watu wenye tabia hizi ili wajirekebishe..
NB:
Post hii ikiwakera msinblock kama kawaida yenu.... au kunipeleka kwenye thread nyingine...