Mtu kaweka status facebook kutaarifu marafiki
kuwa KAFIWA NA BABA YAKE MZAZI halafu cha
kushangaza
1. Yeye mwenyewe ana like ile status
2. Marafiki nao wana like ile status
Hivi like inakuwa na maana gani hapo?
Kawaida tuu, ku-like hakuna maana ile literal meaning; its a figurative meaning..more or less is a sign of acknowledging what has been posted..to me its a metaphor rather than actual thing
Mtu kaweka status facebook kutaarifu marafiki
kuwa KAFIWA NA BABA YAKE MZAZI halafu cha
kushangaza
1. Yeye mwenyewe ana like ile status
2. Marafiki nao wana like ile status
Hivi like inakuwa na maana gani hapo?