Vituko vya Facebook

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,432
Mtu kaweka status facebook kutaarifu marafiki
kuwa KAFIWA NA BABA YAKE MZAZI halafu cha
kushangaza
1. Yeye mwenyewe ana like ile status
2. Marafiki nao wana like ile status
Hivi like inakuwa na maana gani hapo?
 
Button ya like inawezekana iliwekwa kubeba na maana nyingine kama, support, Kubali, Penda, kupunguza kuwa na vitufe vya kila hisia page isingetosha
 
Hapana uki "LIKE' post yako unawezesha marafiki wengi zaidi kuona ulichoandika, kwahiyo haina maana moja tu kwamba uki-like unamaanisha kupenda.
 
Kawaida tuu, ku-like hakuna maana ile literal meaning; its a figurative meaning..more or less is a sign of acknowledging what has been posted..to me its a metaphor rather than actual thing
 
Nina hakika wengi hawajui matumizi ya hicho kitufe hata hapa JF wapo
 
Duh nahisi alikua anatamani sana avute
 
Button ya like inawezekana iliwekwa kubeba na maana nyingine kama, support, Kubali, Penda, kupunguza kuwa na vitufe vya kila hisia page isingetosha

au mtu anaandika LIKE NIKUADD...
 
hivi ufahamu kuwa uso wa kitabu una mambo yake
ndo hivyo ujue best kwani jf umeona majanga hayo?

Mtu kaweka status facebook kutaarifu marafiki
kuwa KAFIWA NA BABA YAKE MZAZI halafu cha
kushangaza
1. Yeye mwenyewe ana like ile status
2. Marafiki nao wana like ile status
Hivi like inakuwa na maana gani hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…