Luqman mohamedy JF-Expert Member Joined Jul 24, 2016 Posts 899 Reaction score 1,239 Nov 28, 2017 #1 Mwaka 20130 kweli hii ni long term plan Ckujua ka serikali yetu ina long term plan
Maxmizer JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 4,799 Reaction score 4,231 Nov 28, 2017 #2 kwa mwaka huo nadhani inawezekana ulimwengu utakua umebadirika sana
Mgibeon JF-Expert Member Joined Aug 7, 2011 Posts 11,425 Reaction score 21,831 Nov 28, 2017 #3 Yaani wanaacha kusambaza dawa mahosptalini wanawaza condom, kweli?
usser JF-Expert Member Joined Sep 25, 2015 Posts 13,978 Reaction score 14,100 Nov 28, 2017 #4 Cjawah kuona serikali hafifu kama ya Tanzania
Trimmer JF-Expert Member Joined Apr 25, 2014 Posts 2,779 Reaction score 4,850 Nov 28, 2017 #5 Wameshindwa kugawa million 50 kila kijiji sasa wanataka badala ya kulima kwa sana tulimane kwa sana,,
Wameshindwa kugawa million 50 kila kijiji sasa wanataka badala ya kulima kwa sana tulimane kwa sana,,
mkurya org. JF-Expert Member Joined Sep 25, 2014 Posts 1,571 Reaction score 1,697 Nov 28, 2017 #6 Aisee wadada wajiandae kwa hizo kondomu watatukoma
Jambazi JF-Expert Member Joined Jan 18, 2014 Posts 16,654 Reaction score 18,801 Nov 28, 2017 #7 Sianzie ofisi za Ufipa.... Kabla hazijaenda mikoani....
mjingamimi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 46,368 Reaction score 57,214 Nov 28, 2017 #8 Condom za nini. Waongeze tu ARV
mshipa JF-Expert Member Joined Jun 16, 2015 Posts 12,402 Reaction score 23,199 Nov 28, 2017 #9 Jambazi said: Sianzie ofisi za Ufipa.... Kabla hazijaenda mikoani.... Click to expand... Huku si tunapiga viroba kwa sana condom za nn?
Jambazi said: Sianzie ofisi za Ufipa.... Kabla hazijaenda mikoani.... Click to expand... Huku si tunapiga viroba kwa sana condom za nn?
Dividend JF-Expert Member Joined Jan 15, 2017 Posts 2,133 Reaction score 3,401 Nov 29, 2017 #10 Utekelezaji wa ilani ya ccm
NAMTUMBA JF-Expert Member Joined Feb 20, 2014 Posts 1,939 Reaction score 600 Nov 29, 2017 #11 Huo mwaka nitakuwa malaika mzoefu mbinguni kwa baba