Mgonjwa alipiga simu kwa daktari bingwa ili kufanya appointment na maongezi yakawa hivi.
Mgonjwa- 'daktari nahitaji kukuona naumwa'.
Daktari- 'hamna nafasi mpaka wiki ijayo'
Mgonjwa- 'naumwa sana nikifa kabla ya wiki je'
Daktari- 'ukifa kabla mkeo apige simu ili tufute appointment'
Mgonjwa- 'daktari nahitaji kukuona naumwa'.
Daktari- 'hamna nafasi mpaka wiki ijayo'
Mgonjwa- 'naumwa sana nikifa kabla ya wiki je'
Daktari- 'ukifa kabla mkeo apige simu ili tufute appointment'