Vituko vya Corona Afrika


Sio kila tiba inayotoka kwa Mzungu Ndio inafaa kwa afya ya binadamu. Usipende kuabudu sana vitu vyao nakuona ndivyo bora na kudharau ushauri unaotolewa na mu Afrika mwenzio
 
Duuuh!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kila tiba inayotoka kwa Mzungu Ndio inafaa kwa afya ya binadamu. Usipende kuabudu sana vitu vyao nakuona ndivyo bora na kudharau ushauri unaotolewa na mu Afrika mwenzio

Hiyo ndio tabia yetu mzee, usishangae hilo. Tumefikia hatua mbaya sana kiasi kwamba hata kujiamini kwetu kumetoweka kabisa. Kila wasemalo wazungu tunaliona kama limetoka mbinguni na hata kupima ukweli wake hatujisumbui. Hii ni mbaya sana.
Jiulize kama lockdown kweli ilikuwa hatua sahihi, kwanini nchi hizo ndio zimeathirika sana? Wee ugonjwa unaoenea kwa njia ya hewa unajifungia ndani kweli?? Labda kama wangesema tujitumbukize kwenye mapipa yasiyoingiza hewa kabisa.
Tuache hii dharau dhidi yetu wenyewe, sio kila mzungu ni padre.
 
Ndo nini hiki

Jr
Kunakuwa na mchanganyiko wa miti mbali mbali ambayo hutumika kama tiba, huchemshwa pamoja kwenye chungu then mgonjwa au muhusika hutakiwa kujivukiza mvuke unaotoka kwenye hicho chungu. Naamini unaelewa isipokuwa unahitaji maelezo tu!

"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
 
Korona toka ushindwe kwa jina la Yesu
Your browser is not able to display this video.


Jr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…