Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Yani Kila siku unasikia kuna hili mara lile huko alipo Paul Makonda! Hadi sasa bila shaka kuna pesa nyingi zimetumika katika kuyafanya hayo maandalizi ya kumpokea Mgombea Urais wa CCM Samia Suluhu.
Yani kila nikiangali uupuzi unaoendelea kufanyika hasira za kinyaru zinazidi kupanda kwa hawa watu.
==============
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanwania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwasili mkoani Arusha, Oktoba 2, 2025 kwa ajili ya kampeni za kuomba kuungwa mkono na wananchi katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29.
Tofauti na mikoa mingine alikopita mgombea huyo wa urais, Arusha imekuwa ya tofauti kwani wananchi tayari wameanza kushuhudia miradi mbalimbali iliyokamilishwa kupitia uongozi wake.
Yani kila nikiangali uupuzi unaoendelea kufanyika hasira za kinyaru zinazidi kupanda kwa hawa watu.
==============
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanwania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwasili mkoani Arusha, Oktoba 2, 2025 kwa ajili ya kampeni za kuomba kuungwa mkono na wananchi katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29.
Tofauti na mikoa mingine alikopita mgombea huyo wa urais, Arusha imekuwa ya tofauti kwani wananchi tayari wameanza kushuhudia miradi mbalimbali iliyokamilishwa kupitia uongozi wake.