MaxShimba
Platinum Member
- Apr 11, 2008
- 36,008
- 4,093
mwanadada akionyesha uwezo wake wa kukatika kihasarahasara
Madada ma nyakati hizi za utandawazi mnatakiwa kubadilika na kujiheshimu,maana wadada wengine ni watu wazima lakini wanafanya mambo kana kwama ndio wanaanza kukua.
Mikao gani iyo dada
-------------------------------------------------------------------------
Ni wakati wa kinadda kubadilika na kufanya kazi na sio kujidhalilisha namna hii,kwani mwanamke nikiumbe cheny uwezo mkubwa wa kufiri na kufanya maamuzi, ila kama hatukua ni mtu wa kukaa chini na kufikiria.Ona sasa kufuli nje