HADITHI YA KAINI NA ABILI ILIIBWA MISRI KABLA YA UKRISTO
SETH na OSIRIS wanawakilisha kaini na abili ,ila wazungu walichokifanya ni kubadilisha story TU ila ukweli huko wazi.
Hawa ni ndugu wawili
Osiris na Sethi walikuwa wana wa mungu mama mkuu Nut. Osiris alikuwa mfalme wa nchi tajiri za Misri ya juu.
Geb alimweka Osiris kwenye kiti cha enzi cha Misri, na utawala wake ulikuwa mzuri na taifa lilikuwa na furaha na ustawi.
Seti akamwonea ndugu yake wivu sana, akataka kumuua ili apate kuchukua kiti chake cha enzi
Sethi alikuwa na wivu na kumuua kaka yake, kisha akamkata vipande vingi na kutupa phallus yake kando ya mfereji wa Netat, karibu na Abydos, .
View attachment 2833959
Sent using
Jamii Forums mobile app