Vituko mitandaoni. Tupia chako

Siku nyingine hayo maneno muyaelewe na hao wataalamu wasitumie elimu kutoa maana ya kitu ambacho hakijamaanishwa kwenye taaluma yao. Hayo maneno ya wazee wa zamani, Tango ni kiungo cha uzazi na asali ni kiungo cha uzazi
Umenifungua macho ila mi pia nilishangaa maana hua wanasema asali na limau ila la tango tena alooo.
Umefikiria nje ya box 😀😀😀 vizuri sanaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…