Vituko mitandaoni. Tupia chako

Ndoa tramuu
 
Timu ya Simba SC imetajwa kuwa na wanawake wenye mvuto zaidi kuliko timu zote zinazoshiriki katika ligi kuu ya NBC.

Inasemekana Wanawake wa Simba wanafuatwa kwa ukaribu na wanawake kutoka timu ya Yanga. Taarifa hii imeleta sintofahamu kubwa baina ya mashabiki wa kike wa Simba na Yanga kila moja akisema wao ndio wenye mvuto zaidi.

Tumalize mzizi wa fitina hapa.....Nani wana mvuto zaidi? Weka uthibitisho wa picha zao hapo kwenye komenti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…