Vituko mitandaoni. Tupia chako

Lakini wanakuwaga nazo za moto balaa πŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈ

View attachment 2778900
Ni kweli lakini lazima uwe na zile bunduki tulizowahi kumiliki Wazee zamani aina ya Gobole.

Ukiwa na shotgun lazima ushindwe kazi πŸƒπŸƒπŸƒ
 
Hata kama una shotgun, kuna jinsi ya ulengaji wa shabaha unaoweza kusaidia 😁😁😁
Hahaha............sio kwa Wanawake wa sasa Mkuu, ndiyo maana Wazee tumeamua kujificha huku shambani kukwepa aibu ndogo ndogo za kuambiwa tunamiliki shotgun bila vibali πŸ€ͺπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…