Walishindwa kupata mtoto kwa miaka minane lakini hatimaye muujiza umetokea baada ya maombi ya kufunga ya nabii na mtume mwaminifu. Sasa ni furaha tupu yaani
Hahaha............sio kwa Wanawake wa sasa Mkuu, ndiyo maana Wazee tumeamua kujificha huku shambani kukwepa aibu ndogo ndogo za kuambiwa tunamiliki shotgun bila vibali π€ͺπππ