Nilimuona huyu mganga mkuu ambaye inasemekana alielemewa kwenye thriisamu nikamkumbuka mzabzab na Mzee wa kupambania maana ndiyo wadau wakubwa wa kupigia chapuo thriisamu humu πππ
Nilimuona huyu mganga mkuu ambaye inasemekana alielemewa kwenye thriisamu nikamkumbuka mzab na mzee wa kupambania maana ndiyo wadau wakubwa wa kupigia chapuo thriisamu
Walishindwa kupata mtoto kwa miaka minane lakini hatimaye muujiza umetokea baada ya maombi ya kufunga ya nabii na mtume mwaminifu. Sasa ni furaha tupu yaani ππΌππΌππΌπ