Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hivi ndivyo Ernie Terrell alivyoonekana baada ya kumtaja Muhammad Ali kama Cassius Clay kabla ya pambano lao. โ€œJina langu nani.โ€ - Muhammad Ali (1967) Ali alionyesha upande wake mweusi zaidi usiku huo wa Februari 6 1967 wakati angeweza kuangusha ngumi moja au mbili zaidi na kusababisha mwamuzi kusitisha pambano lakini akajizuia kiasi cha kumwadhibu Terrell kwa raundi 15 kamili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu dogo ana utoto mwingi; au pengine kapiga pesa za kutosha. Hata kama ana haki katika madai yake lakini njia anazotumia siyo sahihi. Atapotea!
Bahati mbaya mchezo wa masumbwi unahitaji watu wajitoe kwa ajili yako ili uweze kufanikiwa.
Lakini huyu kijana kuna watu wamemshikia akili.
Kila kinachofanyika kwa ajili yake anahisi kudhulumiwa.
Waachane nae waende wakakuze vipaji vipya
 
Umejaaliwa.
Mwenyezi hakupi vyote na wala hakunyimi vyoteView attachment 2778247
Pisi za ule mkoa wetu pendwa - always numerator huwa ni kubwa kuliko denominator ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿšฎ ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ