Hivi ndivyo Ernie Terrell alivyoonekana baada ya kumtaja Muhammad Ali kama Cassius Clay kabla ya pambano lao. โJina langu nani.โ - Muhammad Ali (1967) Ali alionyesha upande wake mweusi zaidi usiku huo wa Februari 6 1967 wakati angeweza kuangusha ngumi moja au mbili zaidi na kusababisha mwamuzi kusitisha pambano lakini akajizuia kiasi cha kumwadhibu Terrell kwa raundi 15 kamili.
Bahati mbaya mchezo wa masumbwi unahitaji watu wajitoe kwa ajili yako ili uweze kufanikiwa.
Lakini huyu kijana kuna watu wamemshikia akili.
Kila kinachofanyika kwa ajili yake anahisi kudhulumiwa.
Waachane nae waende wakakuze vipaji vipya