Huyu ndiyo likuwa mtu wa kupiga pesa kuliko Mondi tatizo ni mbinafsi.
Fella aliwaweka pamoja ili asimamie kazi zao, yeye ndiyo wa kwanza kuchomoka na kashfa juu eti anawaibia.
Leo mwenzao ametoka kwa kufuata nidhamu pesa na kuwasikiliza watalaam wa kila nyanja wanaumonea wivu!!!
Aendelee kunywa mataputapu