Vituko mitandaoni. Tupia chako

Sultan masudi ndiye aliibuka mshindi ktk shindano la kumtafuta mtu aliye na sura mbaya zaidi Tanzania miaka hiyo ya 1990, akifuatiwa na Dr. remmy ongara huku Mshindi wa tatu akiwa ni Mzee Jangala.

Baada ya matokeo hayo kutangazwa aliyekuwa mshindi wa Pili yaani Dr remmy ongara akalalamika kuwa huyu masudi amependelewa!

Kwani amefanya uchunguzi amegundua masudi anatoka ktk familia iliyo na ugonjwa wa ukoma!
Hivyo hakustahili kumshinda yeye

Na Mzee Jangala pia alikata rufaa kuwa iweje yeye aonekane mrembo na kushinda nafasi ya tatu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi masudi sura mbaya yupo??? Kitambo sana sijamsikiaga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…