Naona timu moja tayari ishafika uwanjani tayari kwa mpambano...Timu pinzani (isomeke
mzabzab) bila shaka itawasili muda si mrefu ujao.
Nani ataibuka kidedea?
Tutawajuza baada ya dakika 90 za mpambano huu wa kukata na shoka πππππΏββοΈππΏββοΈ
View attachment 2667101