Vituko mitandaoni. Tupia chako

Uchana nae huyo mzabzab ni mtukutu aliyeshindikana
 
Uchana nae huyo mzabzab ni mtukutu aliyeshindikana
Hajawahi kukushawishi mkapiga mechi moja matata ya kirafiki halafu ukaleta mrejesho kama ambayo huwa anayaandika kweli anayapraktisi au ni mbwembwe zake tu? πŸ€”πŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈ
 
Aliyemroga kafa huyo πŸ™†
Niliona mahali boya mmoja anamkoromea eti "we braza tangu asubuhi mpaka unapokwenda kulala unawaza kugegeda tu, mambo mengine yenye faida kwenye maisha yako huwa unayawaza saa ngapi?"

Mwenyewe jibu lake sasa...."kuna jambo gani jingine lenye faida zaidi ya kugegeda?"

Sijui huo mjadala uliendeleaje 😁😁😁
 
🀣🀣🀣Huyo mshauri atakuwa alikosa kazi ya kufanya...huyu jamaa kwenye siasa ,sheria,uchumi,ujariamali,.michezo yeye vyote huwa vinageuka kugegeda tu mzabzab hivi ulirogelezewa papuchi?
 
Yaani wanapenda sana kumuonea, shoga angu wala hana shida na mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…