Mawazo ya hatari haya...
Mambo mengi unayotumia leo mwanzoni yalionekana ni upuuzi pia. Usiwa-underestimate hao jamaa wakiamua. Inaweza ikawachukua muda mchache tu kubadili concept nzima ya sex na wakaihamishia kwingine kabisa.
Neuralink kwa mfano ina potential ya kukuwezesha kujua mtu mwingine anawaza nini...na hatimaye kuweza ku-download hayo mawazo yake...na hii ndiyo njia mojawapo ya kuishi milele. Mtu unadowload mawazo na experiences zako zote tangu utoto zinatiwa kwenye roboti na maisha yanasonga.....
Haya siyo mambo ya kudharau!