Vituko mitandaoni. Tupia chako

Ni Mjita huyo mkuu. Kwao ni huko Mara. Mwanza huku Wasukuma hatuna shida na mtu πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈ
Mmhhh wapi ww kuna ndugu zangu waliendaga kutafuta maisha huko kichwa kichwa aseee walipigwa na vitu vizito kichwani ilibidi wasaidiwe nauli ya kurudi moshi,,,,,,,,,,,,,,

Stori ni ndefu ila acha niishie hapo kwanza
 
Mmhhh wapi ww kuna ndugu zangu waliendaga kutafuta maisha huko kichwa kichwa aseee walipigwa na vitu vizito kichwani ilibidi wasaidiwe nauli ya kurudi moshi,,,,,,,,,,,,,,

Stori ni ndefu ila acha niishie hapo kwanza

πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈ Machimboni ndiko kwenye mauzauza....kwingine salama hakuna ishu niamini!
 
Ukiwa na hela unapata kila starehe unazotaka. Unaweza kuamini kuwa kuna njemba ilishawahi kumuagiza Cherokee D'Ass Serengeti ikakaa naye wiki 2 nzima?
πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„ Daaaah asee noma sana

Mi niliwahi sikia ni waarabu tu ndo wana muagizaga kumbe hadi bongo hatari sana mkuuu

Sema yule katifuliwa sana 😏😏😏

Inabidi upate tamu tamu soft kama za king mswati hivi
 
Naona jamaa ilikuwa fantasy yake tu....Halafu jamaa wa kawaida tu na heshima zake wala huwezi kumdhania 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…