Hata kama utakuwepo itakuwa bado ni teknolojia ghali sana na ni matajiri wakubwa tu watakaoiweza. Pambana sana huo mwaka ukukute una at least $100+ millions. Hapo mtaenda sawa 😁
Mimi kama nitakuwepo nitakuwa na miaka 99 duh! 😳🙏🏿
Kuna vimbaumbau vinafukia hatari. Na haviongezi hata kilo moja yaani. Labda calories huwa zinaishia kwenye gubu, makelele na roho mbaya 😁😁😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
Kuna vimbaumbau vinafukia hatari. Na haviongezi hata kilo moja yaani. Labda calories huwa zinaishia kwenye gubu, makelele na roho mbaya 😁😁😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️ View attachment 2616695