Hapa ni mifupa mitupu sasa...Mshimo wake sasa maweee! ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ
Ndivyo saikolojia inavyosema maana wewe mumewe atakuwa anakulinganisha na ma ex zake kuanzia pesa, uhendisamu, treatment unayompa mpaka performance yako kitandani...
Wanasema body count ya 5+ tayari ni red flag....hasa kama alikuwa anaingia mapenzini mzima mzima maana wanawake ni viumbe wa hisia...