Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kwakweli aje aseme neno na yeye kaitoa wapi hIyo avatar
Halafu wadau tutapiga kura kama mmoja wenu abadili au ikishindikana basi wote muitoe mtafute avatar nyingine, msituchoshe sie πŸ˜‚
 
Zamani nilikuwa na avatars zako zote. Sijui lile faili lilipotelea wapi. Ningekulazimisha uchague moja nzuri uachane na hii matipo 😁
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kuna moja me mwenyewe natamani niipate, ila sijui naipatia wapi.

Zamanj Beberu Mwitu alikuwa ameitunza, na yeye sijui yuko wapi siku hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…