Nilikusikia mahali ukisema kwamba tangu ujiunge JF hujawahi kulimwa ban. Hii yaweza kuwa ndiyo nafasi yako mojawapo ya kutesti zali la ban kama unataka 😁😁😁
, Manzi Wa Kibera akiwa na mpenzi wake kikongwe wa miaka 66, kikongwe huyo amesema haoni shida kuwa kwenye mahusiano na mtoto mdogo kama huyo baada ya mke wake kufariki, anaamini amepata faraja na liwazo katika maisha yake yaliyobakia.