Tukutane Bulyaga Bar Temeke kwa muziki motomoto, pisi za uhakika, nyamachoma (kitimoto included) huku tukiangalia mechi kali ya watani wa jadi kwenye screen kubwa HD.
Wajemeni! Sipati raha kabisa sio kwa web wala app, picha hazifunguki kabisa. Ndugu mshana aliniekekeza kimtafuta moderator lakini sijafua dafu, nime uninstall na kui rudisha pia hola! Sijajua ni mimi mwenyewe inanikuta hii kadhia au lah!
Wajemeni! Sipati raha kabisa sio kwa web wala app, picha hazifunguki kabisa. Ndugu mshana aliniekekeza kimtafuta moderator lakini sijafua dafu, nime uninstall na kui rudisha pia hola! Sijajua ni mimi mwenyewe inanikuta hii kadhia au lah!
Aisee! Basi hili swala limenitesa kama week sasa dah! Kama limefunguliwa na uzi, itabidi jamaa watoe update maana ni muda mrefu sana hawajatoa update, pia kuna muda app ina stuck sana