Vituko mitandaoni. Tupia chako

Niko cinic na bibi ana miaka 74 , mara ya kwanza dalili za mwanzo akajua maradhi ya utu uzima, akaja kupigw ultrasound tumboni maana alikuwa anatapika sana na dawa kila akiandikwa hola , ndio kuonekana ana mimba miezi 7.
Ya kweli haya?

74 yrs old?

Medical miracles...

Mungu Awaongoze na kuwabariki mama vijacho nyie japo we najua ulitufunga kamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…