πππAmen [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
View attachment 2509923
Ya kweli haya?Niko cinic na bibi ana miaka 74 , mara ya kwanza dalili za mwanzo akajua maradhi ya utu uzima, akaja kupigw ultrasound tumboni maana alikuwa anatapika sana na dawa kila akiandikwa hola , ndio kuonekana ana mimba miezi 7.
Amina ππ .Ya kweli haya?
74 yrs old?
Medical miracles...
Mungu Awaongoze na kuwabariki mama vijacho nyie japo we najua ulitufunga kamba [emoji1545][emoji1545][emoji1545]